Cart

No products in the cart.

Sale

Usawiri chanya wa Hadhi ya Mwanamke katika Methali za Igikuria

Original price was: KSh 550.00.Current price is: KSh 500.00.

Usawiri chanya wa Mwanamke katika Methali za Igikuria ni makala kwa ajili ya kumtukuza mwanamke katika jamii. Usawiri wa utukufu wa mwanamke katika methali za Igikuria umedadavuliwa huku mifano mwafaka ikitolewa. Kimsingi, mwanamke amemegewa nafasi yake katika ulimwengu wa sasa. Mwanamke anachangia pakubwa katika malezi na maendeleo ya jamii.

In stock
Tunu Publishers October 2, 2024 Swahili 98 pages

Description

Usawiri chanya wa Mwanamke katika Methali za Igikuria ni makala kwa ajili ya kumtukuza mwanamke katika jamii. Usawiri wa utukufu wa mwanamke katika methali za Igikuria umedadavuliwa huku mifano mwafaka ikitolewa. Kimsingi, mwanamke amemegewa nafasi yake katika ulimwengu wa sasa. Mwanamke anachangia pakubwa katika malezi na maendeleo ya jamii. le, ni nani asiyejua
kuwa mwanamke ni nguzo muhimu katika shughuli za kuendeleza jamii tangu jadi? Mwanamke ni dira ya kuongoza na kuielekeza jamii. Pia, ni kiungo muhimu katika kufanikisha shughuli za kiuchumi, kisiasa na kisosholojia. Ufafanuzi wa methali za Igikuria, umedhihirisha utukufu wa mwanamke katika miktadha mbalimbali ya jamii ya Wakuria.

Wahariri
Sussy Nandama Sumbi
Timothy Omusikyo Sumba

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Usawiri chanya wa Hadhi ya Mwanamke katika Methali za Igikuria”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

1 2 3 4 5